Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 4:11 - Swahili Revised Union Version

Hata saa hii ya sasa, tuna njaa na kiu, tuko uchi, twapigwa ngumi, tena hatuna makao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hadi saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata saa hii ya sasa, tuna njaa na kiu, tuko uchi, twapigwa ngumi, tena hatuna makao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 4:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa umetwaa dhamana kwa nduguyo bure, Na kuwavua nguo zao walio uchi.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Lakini Wayahudi wakafika toka Antiokia na Ikonio, wakawashawishi makutano hata wakampiga kwa mawe Paulo, wakamburuta nje ya mji, wakidhania ya kuwa amekwisha kufa.


Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana.


Kuhani Mkuu Anania akawaamuru wale waliosimama karibu naye wampige kinywa chake.


Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?


Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?


Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni.


Pande zote twateseka, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;


Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yoyote, na katika mambo yoyote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.


na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.