Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 22:6 - Swahili Revised Union Version

6 Kwa kuwa umetwaa dhamana kwa nduguyo bure, Na kuwavua nguo zao walio uchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wewe umemnyanganya ndugu yako nguo ya rehani; umemchukulia nguo hiyo moja aliyokuwa nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wewe umemnyanganya ndugu yako nguo ya rehani; umemchukulia nguo hiyo moja aliyokuwa nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wewe umemnyang'anya ndugu yako nguo ya rehani; umemchukulia nguo hiyo moja aliyokuwa nayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.

Tazama sura Nakili




Yobu 22:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huwanyang'anya yatima punda wao, Humtwaa rehani ng'ombe wake mwanamke mjane.


Hujilaza usiku kucha uchi bila nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.


Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.


Ikiwa wewe kwa njia yoyote wapokea nguo ya jirani yako rehani, lazima utamrudishia mbele ya jua kuchwa;


na kuwadhulumu maskini na wahitaji, na kuwanyang'anya watu mali yao kwa nguvu, wala hakurudisha rehani, naye ameviinulia macho vinyago, na kufanya machukizo,


wala hakumdhulumu mtu, wala hakutwaa kitu kiwekwe rehani, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, bali amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwafunika nguo walio uchi;


wala hakumdhulumu mtu, bali amemrudishia mdeni wake rehani yake, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, naye amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwavika nguo walio uchi;


nao hujilaza karibu na kila madhabahu juu ya nguo zilizowekwa rehani, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya watu waliotozwa fedha.


Mtu awaye yote asitwae jiwe la kusagia, la juu wala la chini, kuwa rehani; kwani hivi ni kutwaa maisha ya mtu kuwa rehani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo