Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 11:1 - Swahili Revised Union Version

Mniige mimi kama mimi ninavyomwiga Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niigeni mimi kama nami ninavyomwiga Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niigeni mimi kama nami ninavyomwiga Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niigeni mimi kama nami ninavyomwiga Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Igeni mfano wangu, kama ninavyouiga mfano wa Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Igeni mfano wangu, kama ninavyouiga mfano wa Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mniige mimi kama mimi ninavyomwiga Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 11:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.


Basi, nawasihi mnifuate mimi.


Ndugu zangu, mnifuate mimi, mkawatazame wao waendao kwa kuufuata mfano tuliowapa ninyi.


Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu.


Si kwamba hatuna haki hiyo, ila kwa makusudi ya kuwapa mfano wa kuiga, mtufuate.


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.