1 Wakorintho 11:2 - Swahili Revised Union Version2 Basi nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo vile vile kama nilivyowatolea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia yale maagizo niliyowapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia yale maagizo niliyowapeni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia yale maagizo niliyowapeni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ninawasifu kwa kunikumbuka katika kila jambo na kwa kushika mapokeo kama nilivyowapatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ninawasifu kwa kuwa mnanikumbuka katika kila jambo na kwa kushika mafundisho niliyowapa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Basi nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo vile vile kama nilivyowatolea. Tazama sura |