Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 4:16 - Swahili Revised Union Version

16 Basi, nawasihi mnifuate mimi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kwa hiyo, nawasihi: Fuateni mfano wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kwa hiyo, nawasihi: Fuateni mfano wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Basi nawasihi igeni mfano wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Basi nawasihi igeni mfano wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Basi, nawasihi mnifuate mimi.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 4:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mniige mimi kama mimi ninavyomwiga Kristo.


Ndugu zangu, mnifuate mimi, mkawatazame wao waendao kwa kuufuata mfano tuliowapa ninyi.


Mambo mliyojifunza kwangu na kuyapokea, na kuyasikia na kuyaona kwangu, yatendeni hayo; na Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.


Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu.


Si kwamba hatuna haki hiyo, ila kwa makusudi ya kuwapa mfano wa kuiga, mtufuate.


Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.


Wala si kama wajifanyao mabwana wa wale walio chini ya utunzaji wao, bali iweni mifano kwa lile kundi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo