Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 17:5 - Swahili Revised Union Version

Basi akaenda akafanya kama alivyosema BWANA; kwa kuwa alikwenda akakaa karibu na kijito cha Kerithi, kinachokabili Yordani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Elia akatii agizo la Mwenyezi-Mungu, akaenda kukaa kwenye kijito cha Kerithi kilichoko mashariki ya mto Yordani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Elia akatii agizo la Mwenyezi-Mungu, akaenda kukaa kwenye kijito cha Kerithi kilichoko mashariki ya mto Yordani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Elia akatii agizo la Mwenyezi-Mungu, akaenda kukaa kwenye kijito cha Kerithi kilichoko mashariki ya mto Yordani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akafanya kama alivyoambiwa na Mwenyezi Mungu. Akaenda katika Kijito cha Kerithi, mashariki mwa Yordani na akakaa huko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo akafanya kile alichoambiwa na bwana. Akaenda katika Kijito cha Kerithi, mashariki ya Yordani na akakaa huko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akaenda akafanya kama alivyosema BWANA; kwa kuwa alikwenda akakaa karibu na kijito cha Kerithi, kinachokabili Yordani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 17:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Akafika kunako pango, akalala ndani yake. Na tazama, neno la BWANA likamjia, naye akamwambia, Unafanya nini hapa, Eliya?


Basi wana wa Israeli wakaenda na kufanya mambo hayo; vile vile kama BWANA alivyowaamuru Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya.


Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;


Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.