1 Wafalme 19:9 - Swahili Revised Union Version9 Akafika kunako pango, akalala ndani yake. Na tazama, neno la BWANA likamjia, naye akamwambia, Unafanya nini hapa, Eliya? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Huko, akafika penye pango, akakaa humo. Mara neno la Mwenyezi-Mungu likamjia: “Elia! Unafanya nini hapa?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Huko, akafika penye pango, akakaa humo. Mara neno la Mwenyezi-Mungu likamjia: “Elia! Unafanya nini hapa?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Huko, akafika penye pango, akakaa humo. Mara neno la Mwenyezi-Mungu likamjia: “Elia! Unafanya nini hapa?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Huko akaingia katika pango, akalala humo usiku ule. Nalo neno la Mwenyezi Mungu likamjia, kusema, “Unafanya nini hapa, Ilya?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Huko akaingia katika pango, akalala humo usiku ule. Nalo neno la bwana likamjia, kusema, “Unafanya nini hapa, Ilya?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Akafika kunako pango, akalala ndani yake. Na tazama, neno la BWANA likamjia, naye akamwambia, Unafanya nini hapa, Eliya? Tazama sura |