Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 4:5 - Swahili Revised Union Version

kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mwenyezi Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 4:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba aina zote za wanyama wa porini na wa kufugwa na viumbe vyote vitambaavyo nchini; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Lakini, toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vyote huwa safi kwenu.


Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu.


Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.


Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.