Tito 1:15 - Swahili Revised Union Version15 Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao. Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini, hakuna chochote kilicho safi. Kwa kweli nia zao na dhamiri zao zimepotoka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa wale walio safi, kila kitu ni safi kwao. Lakini kwa wale waliopotoka na wasioamini, hakuna chochote kilicho safi. Kwa kweli nia zao na dhamiri zao zimepotoka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio najisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia. Tazama sura |