1 Timotheo 4:4 - Swahili Revised Union Version4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa maana kila kitu alichokiumba Mwenyezi Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; Tazama sura |