Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 2:13 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 2:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.


BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.


BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.


Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.