Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 2:14 - Swahili Revised Union Version

14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alichuma matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.


Lakini kama amezaa mtoto wa kike naye atakaa muda wa siku sitini na sita ili kutakata damu yake.


Lakini nahofu; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo