Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 2:13 - Swahili Revised Union Version

13 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.


BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.


BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.


Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo