Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Adamu akampa mkewe jina “Hawa”, kwani alikuwa mama wa binadamu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Adamu akampa mkewe jina “Hawa”, kwani alikuwa mama wa binadamu wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Adamu akampa mkewe jina “Hawa”, kwani alikuwa mama wa binadamu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Adamu akamwita mkewe jina Hawa, kwa kuwa atakuwa mama wa wote walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Adamu akamwita mkewe Hawa, kwa kuwa atakuwa mama wa wote walio hai.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 3:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.


Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.


Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.


BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.


Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini.


Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani BWANA.


Mtoto akakua, naye akamleta kwa binti Farao, akawa mwanawe. Akamwita jina lake Musa.


Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;


Lakini nahofu; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.


Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.


Ikawa, wakati ulipowadia, Hana akachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume; akamwita Samweli, akisema, Kwa kuwa nimemwomba kwa BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo