Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 2:22 - Swahili Revised Union Version

22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Na huo ubavu Mwenyezi-Mungu alioutoa kwa yule mwanamume akaufanya kuwa mwanamke, akamleta kwa huyo mwanamume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Na huo ubavu Mwenyezi-Mungu alioutoa kwa yule mwanamume akaufanya kuwa mwanamke, akamleta kwa huyo mwanamume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Na huo ubavu Mwenyezi-Mungu alioutoa kwa yule mwanamume akaufanya kuwa mwanamke, akamleta kwa huyo mwanamume.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kisha Bwana Mwenyezi Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwa ule ubavu alioutoa kwa mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa mwanaume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kisha bwana Mwenyezi Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyo mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa huyo mwanaume.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 2:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.


Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.


Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo