Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 7:15 - Swahili Revised Union Version

Naye huyo Samweli akawaamua Waisraeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Samweli akaendelea kuwa mwamuzi wa Israeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Samweli akaendelea kama mwamuzi juu ya Israeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye huyo Samweli akawaamua Waisraeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 7:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akawainua waamuzi, waliowaokoa mikononi mwa watu hao waliowateka nyara.


Kisha Samweli akawaambia Israeli wote, Angalieni, nimeisikiliza sauti yenu katika hayo yote mliyoniambia, nami nimemtawaza mfalme juu yenu.


BWANA akawatuma Yerubaali, na Baraka, na Yeftha, na Samweli, akawaokoa ninyi kutoka kwa mikono ya adui zenu pande zote, nanyi mkakaa salama.


Akafa Samweli; nao Israeli wote wakakusanyika, wakamwomboleza, wakamzika nyumbani mwake huko Rama. Kisha Daudi akaondoka, akashuka mpaka nyikani mwa Maoni.


Naye huenda mwaka kwa mwaka kuzunguka mpaka Betheli, na Gilgali, na Mispa; akawaamua katika miji yote ya Israeli.


Wakakusanyika huko Mispa, wakateka maji na kuyamimina mbele za BWANA; wakafunga siku ile, wakasema huko, Tumemfanyia BWANA dhambi. Samweli akawaamua wana wa Israeli huko Mispa.