Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 7:15 - Swahili Revised Union Version

15 Naye huyo Samweli akawaamua Waisraeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Samueli alikuwa mwamuzi wa Israeli maisha yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Samweli akaendelea kuwa mwamuzi wa Israeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Samweli akaendelea kama mwamuzi juu ya Israeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Naye huyo Samweli akawaamua Waisraeli siku zote za maisha yake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 7:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akawainua waamuzi, waliowaokoa mikononi mwa watu hao waliowateka nyara.


Kisha Samweli akawaambia Israeli wote, Angalieni, nimeisikiliza sauti yenu katika hayo yote mliyoniambia, nami nimemtawaza mfalme juu yenu.


BWANA akawatuma Yerubaali, na Baraka, na Yeftha, na Samweli, akawaokoa ninyi kutoka kwa mikono ya adui zenu pande zote, nanyi mkakaa salama.


Akafa Samweli; nao Israeli wote wakakusanyika, wakamwomboleza, wakamzika nyumbani mwake huko Rama. Kisha Daudi akaondoka, akashuka mpaka nyikani mwa Maoni.


Naye huenda mwaka kwa mwaka kuzunguka mpaka Betheli, na Gilgali, na Mispa; akawaamua katika miji yote ya Israeli.


Wakakusanyika huko Mispa, wakateka maji na kuyamimina mbele za BWANA; wakafunga siku ile, wakasema huko, Tumemfanyia BWANA dhambi. Samweli akawaamua wana wa Israeli huko Mispa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo