Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 5:12 - Swahili Revised Union Version

Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale ambao hawakufa walipatwa na majipu, na kilio cha mji kilifika hadi mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale ambao hawakufa walipatwa na majipu, na kilio cha mji kilikwenda juu hadi mbinguni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 5:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua.


Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.


Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.


Ombolezeni, enyi wachungaji, na kulia; na kugaagaa katika majivu, enyi mlio hodari katika kundi; maana siku za kuuawa kwenu zimetimia kabisa, nami nitawavunja vipande vipande, nanyi mtaanguka kama chombo cha anasa.


Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.


Ni kama mtu aliyemkimbia simba, akakutana na dubu; au aliingia katika nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, nyoka akamwuma.


Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.


Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia watu wangu, kwa sababu kilio chao kimenifikia.