Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 5:12 - Swahili Revised Union Version

12 Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nao wale ambao hawakufa walipatwa na majipu hata kilio cha mji kilifika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wale ambao hawakufa walipatwa na majipu, na kilio cha mji kilifika hadi mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wale ambao hawakufa walipatwa na majipu, na kilio cha mji kilikwenda juu hadi mbinguni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 5:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua.


Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.


Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.


Ombolezeni, enyi wachungaji, na kulia; na kugaagaa katika majivu, enyi mlio hodari katika kundi; maana siku za kuuawa kwenu zimetimia kabisa, nami nitawavunja vipande vipande, nanyi mtaanguka kama chombo cha anasa.


Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.


Ni kama mtu aliyemkimbia simba, akakutana na dubu; au aliingia katika nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, nyoka akamwuma.


Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.


Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia watu wangu, kwa sababu kilio chao kimenifikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo