Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 6:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Sanduku la Mwenyezi Mungu lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Sanduku la bwana lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 6:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaziacha nguvu zake kutekwa, Na fahari yake mkononi mwa mtesi.


Basi Wafilisti walikuwa wamelichukua sanduku la Mungu, wakaenda nalo kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.


Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.


Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la BWANA. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.


Nao Wafilisti wakawaita makuhani na waaguzi, wakasema, Tulifanyieje sanduku la BWANA? Tuonesheni jinsi tuwezavyo kulirudisha mahali pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo