Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 19:15 - Swahili Revised Union Version

Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Sauli akatuma watu tena kumwona Daudi naye akawaambia, “Mleteni kwangu juu ya kitanda chake ili nipate kumuua.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Sauli akatuma watu tena kumwona Daudi naye akawaambia, “Mleteni kwangu juu ya kitanda chake ili nipate kumuua.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 19:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama watu wa hemani mwangu hawakunena, Ni nani awezaye kumpata mtu asiyeshibishwa na yeye kwa nyama?


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa.


Nao wajumbe walipoingia, kumbe! Kuna kinyago kitandani, na mto wa singa za mbuzi kichwani pake!


Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa.