Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:14 - Swahili Revised Union Version

14 Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Sauli alipotuma watu kumkamata Daudi, Mikali akasema, “Yeye ni mgonjwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Sauli alipotuma watu kumkamata Daudi, Mikali akasema, “Yeye ni mgonjwa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wa Absalomu wakamwendea yule mwanamke mle nyumbani; wakasema, Wako wapi Yonathani na Ahimaasi? Yule mwanamke akawaambia, Wamevuka kijito cha maji. Basi walipokwisha kuwatafuta wasiwaone, wakarudi Yerusalemu.


ikawa kama wakati wa kufungwa lango la mji, kulipokuwa giza, watu wale wakatoka, wala sijui walikokwenda; wafuateni upesi, maana mtawapata.


Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.


Basi Sauli akatuma wajumbe ili kumkamata Daudi; nao hapo walipowaona jamaa ya manabii wakitabiri, na Samweli amesimama kama mkuu wao, Roho ya Mungu ikawajia wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo