1 Samueli 19:14 - Swahili Revised Union Version14 Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Shauli alipotuma watu kumshika Daudi, Mikali akawaambia kuwa Daudi ni mgonjwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Sauli alipotuma watu kumkamata Daudi, Mikali akasema, “Yeye ni mgonjwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Sauli alipotuma watu kumkamata Daudi, Mikali akasema, “Yeye ni mgonjwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa. Tazama sura |