Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kisha Shauli aliwatuma warudi huko tena, akawaagiza akisema, “Mlete kwangu Daudi hata akiwa kitandani ili auawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kisha Sauli akatuma watu tena kumwona Daudi naye akawaambia, “Mleteni kwangu juu ya kitanda chake ili nipate kumuua.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kisha Sauli akatuma watu tena kumwona Daudi naye akawaambia, “Mleteni kwangu juu ya kitanda chake ili nipate kumuua.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama watu wa hemani mwangu hawakunena, Ni nani awezaye kumpata mtu asiyeshibishwa na yeye kwa nyama?


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Naye Sauli alipotuma wajumbe ili kumkamata Daudi, yeye alisema, Mgonjwa.


Nao wajumbe walipoingia, kumbe! Kuna kinyago kitandani, na mto wa singa za mbuzi kichwani pake!


Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo