Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:16 - Swahili Revised Union Version

16 Nao wajumbe walipoingia, kumbe! Kuna kinyago kitandani, na mto wa singa za mbuzi kichwani pake!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wale watu walipoingia nyumbani kwa Daudi na kukiangalia kitanda waliona kuna kinyago na mto wa manyoya ya mbuzi kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wale watu walipoingia nyumbani kwa Daudi na kukiangalia kitanda waliona kuna kinyago na mto wa manyoya ya mbuzi kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wale watu walipoingia nyumbani kwa Daudi na kukiangalia kitanda waliona kuna kinyago na mto wa manyoya ya mbuzi kichwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Lakini wale watu walipoingia, kumbe ni kinyago tu kilichokuwa kitandani, na kwenye kichwa kulikuwa na singa za mbuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Lakini wale watu walipoingia, kumbe ni kinyago tu kilichokuwa kitandani na kwenye kichwa kulikuwepo na singa za mbuzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Nao wajumbe walipoingia, kumbe! Kuna kinyago kitandani, na mto wa singa za mbuzi kichwani pake!

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Mikali akakitwaa kinyago, na kukilaza kitandani, akatia na mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na kukifunika kwa nguo.


Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.


Sauli akamwambia Mikali, Mbona wewe umenidanganya hivi, na kumwacha adui yangu aende, hata ameniponyoka? Naye Mikali akamjibu Sauli, Yeye aliniambia, Niache niende zangu; kwa nini nikuue?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo