1 Samueli 19:6 - Swahili Revised Union Version6 Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, Daudi hatauawa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: “Hakika kama bwana aishivyo, Daudi hatauawa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa. Tazama sura |