Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 19:6 - Swahili Revised Union Version

6 Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Shauli alimsikiliza Yonathani, kisha akaapa, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, sitamuua Daudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, Daudi hatauawa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: “Hakika kama bwana aishivyo, Daudi hatauawa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Sauli akaisikiliza sauti ya Yonathani; naye Sauli akaapa, Aishivyo BWANA, yeye hatauawa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 19:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Anayedharau waovu Machoni pake, Bali huwaheshimu wamchao BWANA Aliyeapa ingawa kwa hasara yake, Hayabadili maneno yake.


Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;


Na wajaposema, Kama BWANA aishivyo, hakika waapa kwa uongo.


Kwa maana, kama aishivyo BWANA, awaokoaye Waisraeli, hata ikiwa iko kwa Yonathani, mwanangu, hakika atakufa. Lakini miongoni mwa watu wote hakuna mtu yeyote aliyemjibu.


Kwa kuwa alihatarisha maisha yake, na kumpiga yule Mfilisti, naye BWANA akawatendea Israeli wote wokovu mkuu. Wewe mwenyewe uliona jambo hilo, ukafurahi; basi kwa nini kukosa juu ya damu isiyo na hatia, umwue huyo Daudi bure?


Basi Yonathani akamwita Daudi, naye Yonathani akamjulisha mambo hayo yote. Kisha Yonathani akamleta Daudi kwa Sauli, naye alikuwa akihudumu mbele yake, kama hapo awali.


Naye Sauli akamwapia kwa BWANA, akasema, Aishivyo BWANA, haitakupata adhabu yoyote kwa jambo hili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo