Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 17:15 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili kuchunga kondoo wa baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili kuchunga kondoo wa baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 17:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Samweli akamwambia Yese, Watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, Amesalia mdogo wao, na tazama, anawachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yese, Tuma watu, wamlete; kwa sababu hatutaketi hadi atakapokuja huku.


Kwa siku arubaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni.


Daudi akamwambia Sauli, Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake, na alipokuwa akija simba, au dubu, akamkamata mwana-kondoo wa lile kundi,


Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.