Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 18:2 - Swahili Revised Union Version

2 Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Tangu siku hiyo, Shauli akamchukua Daudi nyumbani kwake, asimruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kuanzia siku ile Sauli akamchukua Daudi naye hakumruhusu kurudi nyumbani mwa baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kuanzia siku ile Sauli akamchukua Daudi naye hakumruhusu kurudi nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 18:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.


Basi Yonathani akamwita Daudi, naye Yonathani akamjulisha mambo hayo yote. Kisha Yonathani akamleta Daudi kwa Sauli, naye alikuwa akihudumu mbele yake, kama hapo awali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo