1 Samueli 18:3 - Swahili Revised Union Version3 Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe. Tazama sura |