Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 18:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 18:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mfalme akamwachilia Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa ajili ya kiapo cha BWANA kilichokuwa kati yao, yaani, kati ya Daudi na Yonathani, mwana wa Sauli.


Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa maangamizi yake mwenyewe; Lakini yuko rafiki aambatanaye na mtu kuliko ndugu.


Kisha Sauli akasema na mwanawe Yonathani, tena na watumishi wake wote, kwamba wamwue Daudi.


Basi mara alipokuwa amekwisha ondoka yule mtoto, mara Daudi akatoka mahali pale karibu na kile kichuguu, akaanguka kifudifudi, akajiinama mara tatu; nao wakabusiana, wakaliliana, hata Daudi akazidi.


Naye Yonathani akamwambia Daudi, Nenda kwa amani; kwa maana sisi sote wawili tumeapiana kwa jina la BWANA ya kwamba, BWANA atakuwa kati ya mimi na wewe, na kati ya uzao wangu na uzao wako milele. Daudi akaondoka, akaenda zake; Yonathani naye akaenda zake mjini.


hata ninyi nyote mkanifitinia, wala hapana mtu anifunuliaye habari hii mwanangu afanyapo agano na mwana wa Yese, wala hapana mmoja wenu anayenisikitikia, wala kunifunulia ya kuwa mwanangu amemchochea mtumishi wangu, anivizie kama hivi leo?


Na hao wawili wakafanya agano mbele za BWANA; Daudi naye akakaa huko Horeshi, na Yonathani akaenda nyumbani kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo