1 Samueli 17:16 - Swahili Revised Union Version16 Kwa siku arubaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa muda wa siku arubaini, asubuhi na jioni, yule Mfilisti Goliathi alijitokeza hadharani, akasimama na kuwakejeli wanajeshi wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa akija mbele kila siku asubuhi na jioni na kujionesha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa akija mbele kila siku asubuhi na jioni na kujionyesha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kwa siku arobaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni. Tazama sura |