Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:15 - Swahili Revised Union Version

15 Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Shauli, alirudi nyumbani Bethlehemu kuchunga kondoo wa baba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili kuchunga kondoo wa baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili kuchunga kondoo wa baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Basi Daudi alikuwa akienda kwa Sauli na kurudi ili awalishe kondoo za baba yake huko Bethlehemu.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Samweli akamwambia Yese, Watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, Amesalia mdogo wao, na tazama, anawachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yese, Tuma watu, wamlete; kwa sababu hatutaketi hadi atakapokuja huku.


Kwa siku arubaini yule Mfilisti alijitokeza na kusimama mbele asubuhi na jioni.


Daudi akamwambia Sauli, Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake, na alipokuwa akija simba, au dubu, akamkamata mwana-kondoo wa lile kundi,


Sauli akamtwaa siku ile, wala hakumwacha arudi tena nyumbani kwa baba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo