Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 5:10 - Swahili Revised Union Version

10 Ndipo nikamwambia yule malaika aliyesema nami, Hawa wanaipeleka wapi efa hii?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, nikamwuliza yule malaika aliyezungumza nami, “Wanakipeleka wapi kile kikapu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, nikamwuliza yule malaika aliyezungumza nami, “Wanakipeleka wapi kile kikapu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, nikamwuliza yule malaika aliyezungumza nami, “Wanakipeleka wapi kile kikapu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Wanakipeleka wapi hicho kikapu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Wanakipeleka wapi hicho kikapu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Ndipo nikamwambia yule malaika aliyesema nami, Hawa wanaipeleka wapi efa hii?

Tazama sura Nakili




Zekaria 5:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikasema, Unakwenda wapi? Akaniambia, Ninakwenda kuupima Yerusalemu, nione upana wake ulivyo na urefu wake ulivyo.


Akaniambia, Wanakwenda kumjengea nyumba katika nchi ya Shinari; tena ikiisha kutengenezwa, atawekwa huko mahali pake mwenyewe.


Ndipo nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, wanawake wawili walitokea, nao upepo ulikuwa katika mabawa yao; na mabawa yao yalikuwa kama mabawa ya korongo; wakaiinua ile efa kati ya dunia na mbingu.


Nikajibu, nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Hawa ni nini, Bwana wangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo