Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 9:8 - Swahili Revised Union Version

8 Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa uadilifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Anauhukumu ulimwengu kwa haki; anayaamua mataifa kwa unyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Anauhukumu ulimwengu kwa haki; anayaamua mataifa kwa unyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Anauhukumu ulimwengu kwa haki; anayaamua mataifa kwa unyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, atatawala mataifa kwa haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, atatawala mataifa kwa haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa uadilifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 9:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


BWANA ndiye Mfalme milele na milele; Mataifa yataangamia kutoka nchi yake.


BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele.


Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.


Maana hukumu itarejea kwa wenye haki, Na wote walio wanyofu wa moyo wataifuata.


Mbele za BWANA, kwa maana anakuja, Kwa maana anakuja aihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na mataifa kwa uaminifu wake.


Mbele za BWANA; Kwa maana anakuja kuihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa uaminifu, Na mataifa kwa adili.


Mfalme mkuu upendaye hukumu kwa haki; Umeiimarisha haki; Umefanya hukumu na haki katika Israeli.


BWANA atatawala milele na milele.


Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo