Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 9:5 - Swahili Revised Union Version

5 Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Umeyakemea mataifa, umewaangamiza waovu; majina yao umeyafutilia mbali milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Umeyakemea mataifa, umewaangamiza waovu; majina yao umeyafutilia mbali milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Umeyakemea mataifa, umewaangamiza waovu; majina yao umeyafutilia mbali milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu; umeyafuta majina yao milele na milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu; umeyafuta majina yao milele na milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 9:5
24 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Ahithofeli alipoona ya kuwa ushauri wake haukufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka, akaenda nyumbani kwake, mjini mwake, akaitengeneza nyumba yake, akajinyonga; akafa, akazikwa kaburini mwa babaye.


Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu juu ya makabila ya watu.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila


Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Kwa nini mataifa yaseme, Yuko wapi Mungu wao? Kisasi cha damu ya watumishi wako iliyomwagika Kijulike kati ya mataifa machoni petu.


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


nami nitaweka kiti changu cha enzi huko Elamu, nami nitawaharibu, mfalme na wakuu, watoke huko, asema BWANA.


Ee BWANA umenitetea katika kisa cha nafsi yangu; Umeukomboa uhai wangu.


Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katika siku ile niifanyayo, asema BWANA wa majeshi.


niache, nipate kuwaangamiza, na kulifuta jina lao chini ya mbingu; nami nitakufanya wewe uwe taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.


Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili kwa upanga huo awapige mataifa. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.


Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;


Naye Daudi aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, alisema, Na ahimidiwe BWANA ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali BWANA amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.


Ndipo Sauli akamwambia yule mchukua silaha zake, Futa upanga wako, unichome nao; wasije watu hawa wasiotahiriwa wakanichoma, na kunisimanga. Lakini huyo mchukua silaha zake akakataa; kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akautwaa upanga wake, akauangukia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo