Zaburi 9:4 - Swahili Revised Union Version4 Kwa maana umenifanyia hukumu na haki Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Umenitetea kuhusu kisa changu cha haki; umeketi katika kiti chako cha enzi, ukatoa hukumu iliyo sawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Umenitetea kuhusu kisa changu cha haki; umeketi katika kiti chako cha enzi, ukatoa hukumu iliyo sawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Umenitetea kuhusu kisa changu cha haki; umeketi katika kiti chako cha enzi, ukatoa hukumu iliyo sawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu; umeketi kwenye kiti chako cha enzi, ukihukumu kwa haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu; umeketi kwenye kiti chako cha enzi, ukihukumu kwa haki. Tazama sura |