Zaburi 7:11 - Swahili Revised Union Version11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Naam, Mungu akasirikiaye waovu kila siku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anayeghadhibika kila siku. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku. Tazama sura |