Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 7:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Naam, Mungu akasirikiaye waovu kila siku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anayeghadhibika kila siku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku.

Tazama sura Nakili




Zaburi 7:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.


BWANA atawaamua mataifa, BWANA, unihukumu mimi, Kwa kadiri ya haki yangu, Kulingana na unyofu nilio nao.


Maana hukumu itarejea kwa wenye haki, Na wote walio wanyofu wa moyo wataifuata.


BWANA ni Mungu mwenye wivu, naye hujilipiza kisasi; BWANA hujilipiza kisasi, naye ni mwingi wa hasira; BWANA hujilipiza kisasi juu ya adui zake, huwawekea adui zake akiba ya hasira.


Ni nani awezaye kusimama mbele za ghadhabu yake, naye ni nani awezaye kukaa katika ukali wa hasira yake? Hasira yake kali humwagwa kama moto, nayo majabali yapasuliwa na yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo