Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 7:12 - Swahili Revised Union Version

12 Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Watu wasipoongoka, Mungu atanoa upanga wake; atavuta upinde wake na kulenga shabaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Watu wasipoongoka, Mungu atanoa upanga wake; atavuta upinde wake na kulenga shabaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Watu wasipoongoka, Mungu atanoa upanga wake; atavuta upinde wake na kulenga shabaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mtu asipotubu, Mungu ataunoa upanga wake, ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kama hakutuhurumia, atanoa upanga wake, ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;

Tazama sura Nakili




Zaburi 7:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


BWANA ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.


Mungu wa wokovu wetu, uturudishe, Uikomeshe hasira uliyo nayo juu yetu.


Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Maana upanga wangu umekunywa na kushiba mbinguni; tazama, utashukia Edomu, na juu ya watu wa laana yangu, ili kuwahukumu. Oba 1-14; Mal 1:2-5


Basi, nitawahukumu ninyi, nyumba ya Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya njia zake, asema Bwana MUNGU. Rudini, mkaghairi, na kuyaacha makosa yenu yote; basi hivyo uovu wenu hautakuwa uharibifu wenu.


Jambo hili litakuwa kwao kama uganga wa ubatili, mbele ya macho yao waliowaapia viapo lakini ataufanya uovu ukumbukwe, ili kwamba wakamatwe.


Waambie, Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?


Na shoka limekwisha kuwekwa penye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.


Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;


Nikiunoa upanga wangu wa umeme, Mkono wangu ukishika hukumu, Nitawatoza kisasi adui zangu, Nitawalipa wanaonichukia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo