Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 7:10 - Swahili Revised Union Version

10 Ngao yangu ina Mungu, Awaokoaye wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mungu ndiye ngao yangu; yeye huwaokoa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mungu ndiye ngao yangu; yeye huwaokoa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mungu ndiye ngao yangu; yeye huwaokoa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ngao yangu ni Mungu Aliye Juu Sana, anayewaokoa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana, awaokoaye wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Ngao yangu ina Mungu, Awaokoaye wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 7:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Nawe, Sulemani mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa moyo mkamilifu, na kwa nia ya kumkubali; kwa kuwa BWANA huchunguza mioyo yote, na kuyatambua mawazo yote ya fikira; ukimtafuta, atakuwa nawe; ukimwacha, atakutupa milele.


basi usikie huko mbinguni, ukaapo, ukasamehe, ukampatilize kila mtu kwa kadiri ya njia zake zote; wewe umjuaye moyo; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu);


Ikiwa wewe u safi na mwelekevu; Hakika yeye sasa angeamka kwa ajili yako, Na kuyafanya makazi ya haki yako kufanikiwa.


Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.


Ee BWANA, uwatendee mema walio wema, Nao walio wanyofu wa moyo.


Lakini Wewe, BWANA, U ngao yangu pande zote, Utukufu wangu na mwinua kichwa changu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Maana ngao yetu ni BWANA, Na mfalme wetu ni wake Mtakatifu wa Israeli.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.


Lakini, Ee BWANA wa majeshi, uhukumuye haki, ujaribuye fikira na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.


Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo