Zaburi 118:12 - Swahili Revised Union Version12 Walinizunguka kama nyuki, Walizimika kama moto wa miibani; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Yalinizunguka, mengi kama nyuki, lakini yakateketea kama kichaka motoni; kwa jina la Mwenyezi-Mungu niliyaangamiza! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Yalinizunguka, mengi kama nyuki, lakini yakateketea kama kichaka motoni; kwa jina la Mwenyezi-Mungu niliyaangamiza! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Yalinizunguka, mengi kama nyuki, lakini yakateketea kama kichaka motoni; kwa jina la Mwenyezi-Mungu niliyaangamiza! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la Mwenyezi Mungu naliwakatilia mbali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la bwana naliwakatilia mbali. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Walinizunguka kama nyuki, Walizimika kama moto wa miibani; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali. Tazama sura |