Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 118:13 - Swahili Revised Union Version

13 Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini BWANA akanisaidia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nilishambuliwa mno karibu nishindwe, lakini Mwenyezi-Mungu alinisaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nilishambuliwa mno karibu nishindwe, lakini Mwenyezi-Mungu alinisaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nilishambuliwa mno karibu nishindwe, lakini Mwenyezi-Mungu alinisaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini bwana alinisaidia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.


Ee BWANA, unilinde Kutoka kwa mikono ya mtu asiye haki; Unihifadhi na watu wajeuri; Waliopanga kuniangusha.


Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, BWANA, Umenisaidia na kunifariji.


Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, BWANA atakuwa nuru kwangu.


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


Daudi akaapa, akasema, Baba yako anajua sana ya kuwa nimeona kibali machoni pako, naye asema, Yonathani asilijue neno hili, asije akahuzunika; lakini ni kweli, aishivyo BWANA, na iishivyo roho yako, iko hatua moja tu kati ya mimi na mauti.


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo