Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 102:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu, na kilio changu kikufikie.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ee Mwenyezi Mungu, usikie maombi yangu; kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ee bwana, usikie maombi yangu, kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie.

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:1
28 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakasimama makuhani Walawi, wakawabariki watu; ikasikiwa sauti yao, sala yao ikafika hata makao yake matakatifu, yaani, mbinguni.


Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Na roho yangu imezimia ndani yangu, Moyo wangu ndani yangu umeshtuka.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Ee BWANA, usikie maombi yangu, Utege sikio lako niliapo, Usiyapuuze machozi yangu. Kwa maana mimi ni mgeni wako, Msafiri kama baba zangu wote.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Uisikie sauti ya kilio changu, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, Kwa maana Wewe ndiwe nikuombaye.


Toka mwisho wa nchi nitakulilia ninapozimia moyo, Uniongoze juu ya mwamba nisioweza kuupanda.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.


Na kisha baada ya muda, yule mfalme wa Misri akafa; wana wa Israeli wakaugua kwa sababu ya ule utumwa, wakalia; kilio chao kikafika juu kwa Mungu kwa sababu ya ule utumwa.


Umejifunika nafsi yako kwa wingu, Maombi yetu yasipite.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Nao wakaiondoa hiyo miungu ya kigeni iliyokuwa kati yao, nao wakamtumikia BWANA; na roho yake ilihuzunika kwa sababu ya msiba wa Israeli.


Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia watu wangu, kwa sababu kilio chao kimenifikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo