Zaburi 10:7 - Swahili Revised Union Version7 Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na dhuluma; mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na dhuluma; mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na dhuluma; mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho; shida na ubaya viko chini ya ulimi wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho; shida na ubaya viko chini ya ulimi wake. Tazama sura |