Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 10:6 - Swahili Revised Union Version

6 Asema moyoni mwake, Sitaondoshwa, Kizazi baada ya kizazi sitakuwamo taabuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Huwaza moyoni: “Sitakuwa na wasiwasi; sitapatwa na dhiki maishani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Huwaza moyoni: “Sitakuwa na wasiwasi; sitapatwa na dhiki maishani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Huwaza moyoni: “Sitakuwa na wasiwasi; sitapatwa na dhiki maishani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa, daima nitakuwa na furaha, kamwe sitakuwa na shida.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa, daima nitakuwa na furaha, kamwe sitakuwa na shida.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 10:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Nami nilipofanikiwa nilisema, Sitaondoshwa milele.


Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya.


Ukasema, Mimi nitakuwa malkia milele; hata hukuyatia hayo moyoni mwako, wala hukukumbuka mwisho wa mambo hayo.


Husema, Njooni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi.


Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu.


Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.


Kwa kadiri alivyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo. Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo