Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 10:12 - Swahili Revised Union Version

12 Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Inuka Mwenyezi Mungu! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Inuka bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura Nakili




Zaburi 10:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya.


Dhihirisha fadhili zako za ajabu Wewe uwaokoaye wanaokukimbilia; Kwa mkono wako wa kulia Uwaokoe kutoka kwa adui zao.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.


Usimpe mnyama mkali uhai wa njiwa wako; Usiwasahau milele watu wako walioonewa.


Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?


Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.


Wewe, BWANA, unifadhili, Tazama mateso niteswayo na wanaonichukia; Wewe uniinuaye katika malango ya mauti,


Inuka, ee BWANA, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.


Mwenye kuihukumu nchi, ujitukuze, Uwape wenye kiburi stahili zao.


BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


Basi, sasa nitasimama; asema BWANA; sasa nitajiinua, sasa nitajitukuza.


Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako wote wakauliwe mbali.


Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, nikumbuke nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo