Zaburi 10:13 - Swahili Revised Union Version13 Kwa nini mdhalimu amdharau Mungu. Akisema moyoni mwake, Hutapatiliza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu”? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu?” Tazama sura |