Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 10:13 - Swahili Revised Union Version

13 Kwa nini mdhalimu amdharau Mungu. Akisema moyoni mwake, Hutapatiliza?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ee Mungu, kwa nini mwovu anakudharau, na kusema ati hutamfanya awajibike?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu”?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu? Kwa nini anajiambia mwenyewe, “Hataniita nitoe hesabu?”

Tazama sura Nakili




Zaburi 10:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni akajibu, akawaambia, Sikuwaambia, nikisema, Msimkosee kijana? Wala hamkusikia; kwa hiyo tunadaiwa damu yake.


Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.


Basi hivyo mfalme Yoashi hakuukumbuka wema, ambao Yehoyada, baba yake Zekaria, alimfanyia, bali alimwua mwanawe. Naye alipokufa, alisema, BWANA na ayaangalie haya, akayalipie kisasi.


Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.


Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Ee Mungu, mtesi atalaumu hata lini? Adui alidharau jina lako hata milele?


Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


lakini mtakula muda wa mwezi mzima, hadi hapo nyama hiyo itakapotoka katika mianzi ya pua zenu, nanyi mtaikinai, kwa sababu mmemkataa BWANA aliye kati yenu, na kulia mbele zake, mkisema, Tulitoka Misri kwa maana gani?


Awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi, naye awakataaye ninyi anikataa mimi; naye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.


asiwe mtu katikati yenu, mume wala mke, wala jamaa, wala kabila, ageukaye moyo wake leo amwache BWANA, Mungu wetu, kwenda kuitumikia miungu ya mataifa hayo; lisiwe katikati yenu shina lizaalo uchungu na pakanga;


Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo