Zaburi 10:11 - Swahili Revised Union Version11 Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mwovu huwaza moyoni mwake: “Mungu amesahau; ameficha uso wake, haoni kitu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mwovu huwaza moyoni mwake: “Mungu amesahau; ameficha uso wake, haoni kitu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mwovu huwaza moyoni mwake: “Mungu amesahau; ameficha uso wake, haoni kitu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau, huficha uso wake na haoni kabisa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau, huficha uso wake na haoni kabisa.” Tazama sura |