Yoshua 6:12 - Swahili Revised Union Version12 Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Asubuhi yake Yoshua akaamka alfajiri na mapema, na makuhani wakalibeba lile sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Asubuhi yake Yoshua akaamka alfajiri na mapema, na makuhani wakalibeba lile sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Asubuhi yake Yoshua akaamka alfajiri na mapema, na makuhani wakalibeba lile sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Yoshua akaamka asubuhi na mapema siku iliyofuata, nao makuhani wakalichukua Sanduku la Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la BWANA. Tazama sura |