Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:24 - Swahili Revised Union Version

24 Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Baana mwana wa Hushai, katika Asheri na Bealothi.


Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Asheri, fungu moja.


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;


Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;


Gileadi alikaa ng'ambo ya Yordani, Na Dani, mbona alikaa katika merikebu? Asheri alikaa kimya penye bandari ya bahari, Alikaa katika hori zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo