Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Helkathi, Hali, Beteni, Akshafi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akshafu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakakamatana, kila mtu akimshika mwenziwe kichwa chake, na kutia upanga wake katika ubavu wa mwenzake; wakaanguka pamoja; hata mahali pale pakaitwa Helkath-hasurimu, napo ni katika Gibeoni.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;


Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.


Alameleki, Amadi na Mishali; nao ukafika hadi Karmeli upande wa magharibi, tena ulifikia hadi Shihor-libnathi;


na Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho, na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo