Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:23 - Swahili Revised Union Version

23 Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Isakari; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

na mpaka ukafikia hadi Tabori, na Shahasuma na Beth-shemeshi; na mwisho wa mpaka wao ulikuwa katika mto wa Yordani; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.


Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo