Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 18:21 - Swahili Revised Union Version

21 Basi miji ya kabila la wana wa Benyamini kwa kufuata jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kabila la Benyamini, kufuatana na koo zao, lilikuwa na miji ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Basi miji ya kabila la wana wa Benyamini kwa kufuata jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,

Tazama sura Nakili




Yoshua 18:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme akaenda Gibeoni, ili atoe dhabihu huko; kwa kuwa ndipo mahali pa juu palipo pakuu. Sulemani akatoa sadaka elfu moja za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.


Na katika habari za kabila zilizosalia; toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Benyamini, fungu moja.


Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha akiwa karibu kufa.


Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.


na huo mpaka ukaendelea hadi Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba; kisha mpaka ukaendelea hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;


Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani; kisha mpaka ukaendelea kufikia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini, kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi; na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Beth-aveni.


kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini; na mwisho wa mpaka ulikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.


Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki. Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kufuata mipaka yake kwa kuuzunguka kotekote, kulingana na jamaa zao.


na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;


Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kutoka Shitimu kwa siri, ili kupeleleza, akawaambia, Nendeni mkaitazame nchi hii, hasa Yeriko. Wakaenda wakafika nyumbani kwa kahaba mmoja jina lake aliitwa Rahabu, wakalala huko.


Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya Waisraeli; hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.


Hao wana wa Mkeni, huyo shemeji yake Musa, wakakwea juu kutoka katika huo mji wa mitende, pamoja na wana wa Yuda, na kuingia hiyo nyika ya Yuda, iliyo upande wa kusini wa Aradi; nao wakaenda na kukaa pamoja na watu hao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo