Yoshua 18:21 - Swahili Revised Union Version21 Basi miji ya kabila la wana wa Benyamini kwa kufuata jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Miji ya koo za kabila la Benyamini ni Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kabila la Benyamini, kufuatana na koo zao, lilikuwa na miji ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Basi miji ya kabila la wana wa Benyamini kwa kufuata jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi, Tazama sura |